“Mimi namsikiliza Diamond,” anasema Vera. “Style yake tofauti kisha nzuri, kisha naona kuwa amejikakamua anatoa hits after hits hatulii, yeye hutia bidii kila siku. Halafu pia si muziki peke yake, ameweza kusaidia vijana kuwapatia nafasi ya ku-explore talent zao, kama sasa hivi yuko na artists ambao wako chini yake which is a good thing,” ameongeza.
Vera amedai pia kuwa anampenda Diamond kwasababu ni baba mzuri na anayetimiza majukumu yake
Bonyeza HAPA kudownload applicationi ya Moto moto Blog kwenye simu yako ili kupata habari zetu Haraka
VIDEO:HATIMAYE VERA SIDIKA AELEZA ANAYEMSIKILIZA ZAIDI KATI YA DIAMOND NA ALI KIBA
Reviewed by blogger
on
May 18, 2017
Rating:
